img Leseprobe Leseprobe

Hatua za Ukuaji wa Kiroho

Rev. David R. Wallis

EPUB
3,99
Amazon iTunes Thalia.de Weltbild.de Hugendubel Bücher.de ebook.de kobo Osiander Google Books Barnes&Noble bol.com Legimi yourbook.shop Kulturkaufhaus ebooks-center.de
* Affiliatelinks/Werbelinks
Hinweis: Affiliatelinks/Werbelinks
Links auf reinlesen.de sind sogenannte Affiliate-Links. Wenn du auf so einen Affiliate-Link klickst und über diesen Link einkaufst, bekommt reinlesen.de von dem betreffenden Online-Shop oder Anbieter eine Provision. Für dich verändert sich der Preis nicht.

Zion Christian Publishers img Link Publisher

Geisteswissenschaften, Kunst, Musik / Christentum

Beschreibung

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:

  • Nini maana ya kuokolewa
  • Umuhimu wa Neno la Mungu
  • Ubatizo wa maji, agizo
  • Maombi, kipaumbele
  • Umuhimu wa ushirika
  • Umuhimu wa neema ya Mungu
  • Ukombozi kutoka katika vifungo
  • Kujawa na Roho Mtakatifu
Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

Weitere Titel in dieser Kategorie
Cover Hatua za Ukuaji wa Kiroho
Rev. David R. Wallis
Cover Mwanzo
Dr. Brian J. Bailey
Cover Nguzo za Imani
Dr. Brian J. Bailey
Cover Roho Mtakatifu
Dr. Brian J. Bailey
Cover Sauti Ya Mungu Yenye Nguvu
Rev. Robert A. Tucker

Kundenbewertungen